mahali pakupata majibu katika Biblia

Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.

Zawadi

Mungu humlipa mtu anaye fanya kazi kwa kujinyima bila kujionyesha. Imeandikwa, Mathayo 6:1 "Agalieni msifanye wema wenu machoni pa watu kusudi mtazamwe na wao kwa maana mkifanya kama hayo hampati dhawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni."

Mungu hutupa zawadi kwa wingi. Imeandikwa, Mathayo 19:29 "Na kila mtu aliye asha nyumba au ndugu wa kike au wa kiume au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara mia na kuuridhi uzima wa milele."